Tanga yajipanga uwekezaji bomba la mafuta Uganda
Mkuu wa mkoa wa Tanga Martin Shegela amewataka wakazi wa mkoa huo kutumia nafasi za ujio wa bomba kubwa la mafuta kutoka oima nchini Uganda hadi bandari ya tanga iliyopo mkoani humo kwa kuwekeza katika uzalishaji wa vyakula

