Makorokocho waibuka mabingwa Dance100% 2016
Shindano la Dance100% 2016 limemalizika leo katika viwanja vya Don Bosco Jijini Dar es Salaam ambapo kundi la Makorokocho limeibuka na ubingwa na kujipatia kitita cha milioni 7, Kombe la Dance100% pamoja na cheti maalum.