Makorokocho waibuka mabingwa Dance100% 2016

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano kutoka Vodacom Jacquiline Materu akikabidhi mfano wa hundi ya milioni 7 kwa kusni la Timu Makorokocho

Shindano la Dance100% 2016 limemalizika leo katika viwanja vya Don Bosco Jijini Dar es Salaam ambapo kundi la Makorokocho limeibuka na ubingwa na kujipatia kitita cha milioni 7, Kombe la Dance100% pamoja na cheti maalum.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS