DC Arumeru aagiza walevi kuchapwa viboko

Mkuu wa wilaya ya Arumeru Alexander Mnyeti

Mkuu wa wilaya ya Arumeru Alexander Mnyeti, amewaagiza watendaji wa serikali katika ngazi za vijiji, kata na tarafa kurejesha adhabu za viboko katika maeneo yao kwa watu wanaokunywa pombe muda wa kufanya kazi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS