Serikali imeanza kutoa Chanjo ya Saratani

Naibu Waziri wa Afya Mh Hamisi Kigwangwala

Wizara ya afya imeaanza kutoa chanjo ya saratani ya majaribio mkoani Kilimanjaro, kwa wanafunzi wenye umri wa miaka 9 hadi kumi na tatu ikiwa ni jitihada za kukabiliana na ugonjwa wa saratani kwa wanawake hasa ya mlango wa uzazi na saratani ya matiti

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS