Serikali imeanza kutoa Chanjo ya Saratani
Wizara ya afya imeaanza kutoa chanjo ya saratani ya majaribio mkoani Kilimanjaro, kwa wanafunzi wenye umri wa miaka 9 hadi kumi na tatu ikiwa ni jitihada za kukabiliana na ugonjwa wa saratani kwa wanawake hasa ya mlango wa uzazi na saratani ya matiti

