Wahariri waomba muda kujadili muswada wa habari

Viongozi wa Jukwaa la Wahariri - TEF katika mkutano wao na wanahabari jijini Dar es Salaam leo

Jukwaa la Wahariri limehuzunishwa na hatua ya kamati ya bunge ya maendeleo ya jamii inayosisitiza kuendelea kuufikisha bungeni muswada tata wa habari ambao wadau wakiwemo wanahabari wameulalamikia kuwa na mapungufu yatakayodidimiza fani ya uandishi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS