Majaliwa awasimamisha maafisa misitu wanne, Rufiji

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewasimamisha kazi Maofisa Misitu wanne na kusimamisha shughuli za uvunaji wa mazao ya misitu wilayani Rufiji kwa muda usiojulikana baada ya kutoridhishwa na usimamizi wake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS