JPM aagiza mashine za ukaguzi bandarini zipatikane

Rais Dkt. John Magufuli akifanya ukaguzi katika eneo la Gati la Mafuta la Kurasini KOJ.

Rais Magufuli katika ziara hiyo pamoja na mambo mengine ametoa miezi miwili kwa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) kununua mashine nne za kukagulia mizigo bandarini (Scanning Machine).

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS