Afisa Elimu apewa wiki moja kupeleka walimu Rufiji

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wiki moja kwa Afisa Elimu Mkoa wa Pwani, Yussuph Kipengele kupeleka walimu wa kufundisha masomo ya kidato cha tano na sita katika shule za sekondari za Mkongo na Utete wilayani Rufiji.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS