Bodi ya Ligi yazifuta Polisi Tabora na Geita Gold

Boniface Wambura - Mtendaji Mkuu Bodi ya Ligi

Bodi ya Ligi Tanzania Bara imeziondoa kabisa katika orodha yake timu za Geita Gold Sports na Polisi Tabora kwa kushindwa kuwasilisha usajili wake kwa ajili ya kushiriki ligi daraja la pili msimu huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS