Taifa Stars kujipima ubavu kwa Zimbabwe Novemba 13
Baada ya kukosa mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Ethiopia, timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ imepata mwaliko wa kucheza na Zimbabwe katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa unaotarajiwa kufanyika jijini Harare, Novemba 13, mwaka huu.

