Tunasikitika kutengwa na serikali - Walemavu

Tanzania imeungana na nchi nyingine duniani katika ufunguzi wa wiki ya watu wasiosikia (viziwi), kwa lengo la kuangazia changamoto zao na namna ya kuzitatua ambapo wamelalamikia kitendo cha viongozi wa serikali kushindwa kuhudhuria uzinduzi huo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS