Shindano la Dance100% lifike mikoani - Jokate

Jokate Mwegelo

Mrembo Jokate Mwegelo ameshauri shindano la Dance 100% lijalo lifike mikoani ili kuweza kupata vipaji vingi zaidi kuliko ilivyo sasa ambapo vijana wanaopenda kushiriki hulazimika kuja Jijini Dar es salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS