Mashabiki Simba Vs Yanga watakiwa kutii sheria
Jeshi la Polisi limewataka mashabiki wa soka nchini kuzingatia sheria bila ya shuruti katika mpambano wa watani wa Jadi Simba dhidi ya Yanga utakaopigwa Jumamosi katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.