Mashabiki Simba Vs Yanga watakiwa kutii sheria

Mashabiki wa Simba na Yanga katika moja ya mihezo yao, uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

Jeshi la Polisi limewataka mashabiki wa soka nchini kuzingatia sheria bila ya shuruti katika mpambano wa watani wa Jadi Simba dhidi ya Yanga utakaopigwa Jumamosi katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS