Wafanyabiashara ya mafuta wakumbushwa sheria

Moja ya kituo cha mafuta jijini nchini Tanzania

Mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji (Ewura) imetoa mafunzo kwa wafanyabiashara wa mafuta na vilainishi mkoani Morogoro ambapo imewataka wafanya biashara hao kufuata sharia, kanuni na taratibu zilizowekwa kwa bidhaa hizo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS