Majambazi 2 wajeruhiwa katika mapambano na polisi

Kamishna Simon Sirro

Watu wawili wanaodaiwa kuwa ni majambazi wamejeruhiwa kwa risasi katika majibizano ya ana kwa ana na polisi maeneo ya Viwandani Vingunguti Dar es Salaam, leo asubuhi wakiwa kwenye jaribio la kufanya ujambazi katika eneo hilo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS