Lema akwaa kisiki, rufaa yake yatupwa rasmi

Mbunge wa Arusha Mjini - Godbless Lema

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema , amekwama  tena kutoka mahabusu ambako anashikiliwa  kwa mwezi mmoja sasa na  kurudishwa Mahabusu katika gereza  Kuu Kisongo, baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Arusha kuifutilia mbali Rufaa yake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS