Majaliwa amsimamisha kazi Mhasibu Mkuu Ngorongoro
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemsimamisha kazi Mhasibu Mkuu wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA), Sezzary Simfukwe kwa tuhuma za ubadhilifu wa fedha zinazomkabili na tayari anahojiwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU).
