Kiama chaikumba TASAF, maafisa 111 watumbuliwa

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki amemuagiza Mkurugenzi Mkuu wa Mpango wa kunusuru kaya masikini (TASAF) kuwasimamisha kazi mara moja maafisa ushauri na mipango 106 katika ngazi ya halmashauri nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS