Faida za viza za Israel kutolewa nchini zaainishwa

Balozi wa Israel nchini Kenya, Yahel Vilan (kushoto) akiwa katika mkutano Kituo cha Uwekezaji TIC ambapo alizungumzia kongamano la biashara baina ya Tanzania na Israel litakalofanyika jijini Tel Aviv Israel.

Serikali ya Israel imeanza kutoa huduma za viza moja kwa moja kutokea jijini Dar es Salaam ambapo kwa mujibu wa Waziri wa Maliasili na Utalii Profesa Jumanne Maghembe, hatua hiyo itachochea ukuaji wa biashara pamoja na ushirikiano wa kidiplomasia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS