Watu mtaani wanahitaji sana album - Mkoloni

Mkoloni akiwa ndani ya Studio za EA Radio

Rapa Mkoloni kutoka katika kundi la  Wagosi wa Kaya kwa sasa ametoka kama Solo Artist na kuachia album yake inayokwenda kwa jina la 'Malengo' na kusema kuwa kuna mahitaji makubwa sana ya album mtaani kwa sasa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS