Wajelajela wamtosa rasmi kocha Abdul Mingange
Aliyekuwa kocha Mkuu wa timu ya Wajelajela Tanzania Prisons Abdul Mingange amesema, kwa sasa yupo tayari kufanya kazi na timu yoyote itakayomuhitaji mara baada ya kuachwa na Wajelajela hao wa jijini Mbeya.

