Mmiliki wa Facebook ashtakiwa nchini Ujerumani Muasisi wa mtandao wa kijamii wa Facebook, Mark Zuckerberg Mahakama moja mjini Munich nchinio Ujerumani imefungua kesi dhidi ya muasisi wa mtandao wa kijamii wa Facebook, Mark Zuckerberg kwa kuchochea hisia za chuki. Read more about Mmiliki wa Facebook ashtakiwa nchini Ujerumani