Mmiliki wa Facebook ashtakiwa nchini Ujerumani

Muasisi wa mtandao wa kijamii wa Facebook, Mark Zuckerberg

Mahakama moja mjini Munich nchinio Ujerumani imefungua kesi dhidi ya muasisi wa mtandao wa kijamii wa Facebook, Mark Zuckerberg kwa kuchochea hisia za chuki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS