Hata Mungu anaipenda siasa - Dkt. Mashinji

Dkt. Vincent Mashinji - Katibu Mkuu CHADEMA

Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt. Vincent Mashinji, ameonesha kupingana na baadhi ya watu wanaodai kuwa siasa ni mchezo mchafu, kwa kusema kuwa dhana hiyo siyo sahihi kwa kuwa hata Mwenyezi Mungu aliyeumba kila kitu, anaipenda na ndiyo maana akairuhusu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS