Mke wa Dkt. Shein aonya watakaovuruga amani Pemba

Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein (katikati)

Mke wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein amewataka Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kuendelea kuwaelimisha vijana wasikubali kutumika katika vitendo vinavyoweza kuvuruga amani na kwamba uchaguzi umekwisha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS