Waamuzi mechi ya Yanga na Simba 'watumbuliwa'

Martin Saanya (Kulia) akikwepa kibano kutoka kwa wachezaji wa Simba katika mchezo wao na Yanga, Oktoba 1, mwaka huu

Waamuzi waliochezesha mchezo namba 49 kati ya Yanga na Simba, Martin Saanya na Samweli Mpenzu wametolewa kwenye ratiba ya Ligi Kuu Tanzania Bara.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS