Msanii Young D (katikati) akiwa na watangazi wa kipindi cha 5SELEKT, Tbway 360 na Vanila
Msanii ambaye ni rapper wa muziki wa bongo fleva Young D au paka rapper, amesema Tuzo za EATV (EATV AWARDS 2016) zimempa ari ya kuzidi kufanya kazi kwa bidii zaidi, ili mwakani aweze kushiriki.