Mauzo DSE yaongezeka kwa asilimia 56

Patrick Mususa

Idadi ya mauzo katika Soko la Hisa la Dar es Salaam imeongezeka kwa asilimia 56 kutoka shilingi bilioni 5.3 had shilingi bilioni 8.3 kwa mujibu wa taarifa ya mwenendo wa biashara katika soko hilo kwa kipindi cha wiki moja iliyopita.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS