Diana alia kutelekezwa na Kamati ya Miss Tanzania

Diana Edward baada ya kutangazwa mshindi

Miss Tanzania 2016 Diana Edward ambaye ndiye mrembo anayetarajiwa kwenda kuiwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya urembo ya dunia 'Miss World', ameilalamikia kamati ya mashindano hayo kwa kumtelekeza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS