Walichosema wasanii Bongo kuhusu ushindi wa Trump Donald Trump - Rais Mteule wa Marekani Leo tarehe 9 Novemba 2016 Marekani imeandika historia kwa kumchagua Donald Trump kuwa Rais wa taifa hilo, mtu ambaye alikuwa 'talk of the world' kwa mtazamo wake juu ya watu weusi. Read more about Walichosema wasanii Bongo kuhusu ushindi wa Trump