Wahandisi wataka awepo Mhandisi Mkuu wa Serikali

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasilia

Taasisi ya wahandisi Tanzania imeiomba serikali kuweka Mhadisi Mkuu wa Serikali ambaye ataratibu na kusimamia sekta zote za uhandisi nchini ili kuongeza ufanisi na kukuza taaluma hiyo yenye mchango mkubwa katika mapinduzi ya teknolojia nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS