Simba yatema wawili, yamsaka Athanas wa Stand

Vincent Angban golikipa aliyeachwa

Klabu ya Simba imetangaza marekebisho madogo ya usajili iliyoyafanya katika dirisha dogo la usajili lililofungwa leo ambapo imewaacha rasmi Golikipa mua-Ivory Coast Vicent Agban na kiungo kutoka Kongo Mussa Ndusha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS