Yanga yatangulia 16 bora Kombe la Shirikisho

Baadhi ya wachezaji wa Yanga

Mabingwa watetezi wa michuano ya Kombe la Shirikisho la TFF, Yanga SC leo imeishushia Ashanti ya Ilala Dar es Salaam kipingo cha mabao 4-1 katika mchezo wa raundi ya 5 ya michuano hiyo uliopigwa dimba la Uhuru Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS