Yanga yatangulia 16 bora Kombe la Shirikisho
Mabingwa watetezi wa michuano ya Kombe la Shirikisho la TFF, Yanga SC leo imeishushia Ashanti ya Ilala Dar es Salaam kipingo cha mabao 4-1 katika mchezo wa raundi ya 5 ya michuano hiyo uliopigwa dimba la Uhuru Dar es Salaam.