Tani 17 za vipodozi zateketezwa Morogoro

Mamlaka ya chakula na dawa (TFDA) kwa kushirikiana na vyombo vya usalama mkoani Morogoro, imeteketeza shehena ya vipodozi vyenye viambata vya sumu huku vingine vikiwa vimekwisha muda wa matumizi yake

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS