Tani 17 za vipodozi zateketezwa Morogoro Mamlaka ya chakula na dawa (TFDA) kwa kushirikiana na vyombo vya usalama mkoani Morogoro, imeteketeza shehena ya vipodozi vyenye viambata vya sumu huku vingine vikiwa vimekwisha muda wa matumizi yake Read more about Tani 17 za vipodozi zateketezwa Morogoro