Watumishi TRA mbaroni kwa dawa za kulevya

Kamishna wa Oparesheni wa Mamlaka, Mihayo Msikhela akizungumza na wanahabari

Oparesheni za kuwakamata watuhumiwa wanaojihusisha na dawa za kulevya nchini imefanikiwa kukamata watuhumiwa wawili waliohusika kupitisha kemikali bashirifu za dawa hizo aina ya ephedrine huku wengine wawili wakiwa bado wanasakwa na polisi

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS