Mzee wa Upako afunguka kuhusu yeye kunywa pombe

Mch. Anthony Lusekelo

Mchungaji Anthony Lusekelo amefunguka kuhusu tuhuma za yeye kunywa pombe, na kuweka wazi kuwa hanywi pombe bali anakunywa 'wine' isiyo na kilevi, huku akisita kusema endapo unywaji pombe ni dhambi au siyo dhambi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS