Waziri Mkuu wa Ethiopia amfuata Magufuli Tanzania

Rais Magufuli akisalimiana na Waziri Mkuu wa Ethiopia Hailemariam Desalegn wakati akitoka kwenye mkutano wa wakuu wa nchi za Afrika uliofanyika hivi karibuni nchini Ethiopia

Waziri Mkuu wa Ethiopia Mhe. Hailemariam Dessalegn anatarajiwa kuwasili nchini Tanzania kesho Machi 31 na kufanya ziara ya kitaifa ya siku mbili ikiwa ni mwaliko wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS