VIDEO: Watu walipie maneno yao - Isha amshauri JPM
Msanii wa muziki miondoko ya taarabu nchini Isha Mashauzi amefunguka na kuonesha kuumizwa na maneno ambayo watu yenye lengo la kuwagombanisha watu, huku akimshauri Rais Magufuli kama inawezekana watu walipie maneno yao
