Tanzania ya viwanda inamuhitaji mwanamke: Serikali

Waziri Ummy Mwalimu

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu amesema Ili kufikia Tanzania ya viwanda nchi inahitaji kuongeza kasi ya kuhakikisha wanawake wanawezeshwa kiuchumi, wanashiriki katika ajira na kukomesha ukatili dhidi yao

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS