Taasisi ya Moyo ya JK yaokoa bilioni 2.1 Dkt. Bashiri Nyangasa Mkurugenzi wa upasuaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete. Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) imesema imeokoa kiasi cha shilingi bilioni 2.1 zilizopaswa kutumika kwa wagonjwa wa moyo kwenda kutibiwa nje ya nchi, Read more about Taasisi ya Moyo ya JK yaokoa bilioni 2.1