HK ataka Snura na Shilole wayamalize Meneja wa Msanii Snura, HK amesema yeye pamoja na msanii wake hawana 'bifu' na Shilole huku akidai wapo tayari hata kufanya naye kazi ya pamoja endapo atakuwa anahitaji katika hilo. Read more about HK ataka Snura na Shilole wayamalize