Simba na Yanga watambiana matawini

Mashabiki wa Simba na Yanga Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam

Kuelekea katika mpambano wa watani wa jadi Simba na Yanga, viongozi wa matawi mbalimbali ya vilabu hivyo wameendelea kutambiana huku wakiitaka serikali kumchukulia hatua mtu yeyote atakayegundulika kufanya uharibifu katika mchezo huo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS