Mikoa yote yatakiwa kuwa na huduma ya methadone

Dkt Kigwangalla katika ziara yake, Mwananyamala

Serikali imeagiza hospitali zote za mikoa nchini zianzishe kliniki maalum ya kutoa huduma za matibabu ya watumiaji wa dawa za kulevya kwa kutumia methadone, ndani ya miezi sita.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS