Mikoa yote yatakiwa kuwa na huduma ya methadone Dkt Kigwangalla katika ziara yake, Mwananyamala Serikali imeagiza hospitali zote za mikoa nchini zianzishe kliniki maalum ya kutoa huduma za matibabu ya watumiaji wa dawa za kulevya kwa kutumia methadone, ndani ya miezi sita. Read more about Mikoa yote yatakiwa kuwa na huduma ya methadone