Sihusiki na dawa za kulevya - Ridhiwan Kikwete
Mbunge wa jimbo la Chalinze Mhe. Ridhiwan Kikwete amefunguka mapya juu ya yeye kuhusishwa na dawa za kulevya na kusema yeye hajawahi kufanya biashara hiyo na kudai ni bora yeye kufa masikini kuliko kkutafuta utajiri kwa njia ya dawa za kulevya