Sihusiki na dawa za kulevya - Ridhiwan Kikwete

Ridhiwan Kikwete

Mbunge wa jimbo la Chalinze Mhe. Ridhiwan Kikwete amefunguka mapya juu ya yeye kuhusishwa na dawa za kulevya na kusema yeye hajawahi kufanya biashara hiyo na kudai ni bora yeye kufa masikini kuliko kkutafuta utajiri kwa njia ya dawa za kulevya

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS