Kisa cha Man Fongo kumpandishia Msaga Sumu
Msanii wa muziki wa singeli Bongo, Man Fongo amemjia juu msanii mwenzake wa muziki huo, Msaga Sumu na kuikosoa kauli yake ya kujiita 'Mfalme wa Kisingeli' kwamba siyo kweli, na kwamba Msaga Sumu hana sifa za kujiita 'mfalme wa singeli'