"Siwezi kusubiri mpaka nife" - Haji Manara
Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano wa Mabingwa wa Ligi Kuu (VPL) Simba SC, Haji Manara amefunguka na kudai anajifahamu yeye binafsi kuwa ndiye msemaji pekee ndani ya wekundu wa Msimbazi na hawezi kusubiri mpaka afe ndio aweze kusifiwa kwa afanyacho.