Ligi kuu ya England yafanyiwa mabadiliko Chama cha soka nchini England (FA) kimetangaza mabadiliko kwenye ligi kuu ya EPL ambapo sasa itakuwa na mapumziko ya wiki mbili ndani ya mwezi Februari ambayo ni majira ya baridi nchini humo. Read more about Ligi kuu ya England yafanyiwa mabadiliko