Denis Sassou Nguesso ashinda Urais tena

Rais wa Jamhuri ya KONGO-BRAZAVILLE Denis Sassou Nguesso ameshinda tena uchaguzi kwa asilimia 94.82 ya kura, na kuongeza awamu nyingine baada ya karibu miaka 42 ya kutawala taifa hilo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS