Azam FC yainyaka sahihi ya kocha mpya Uongozi wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC umefanikiwa kuinyaka saini ya Kocha mkongwe Juma Mwambusi kwa lengo la kuwafundisha wachezaji kwa kipindi cha miaka miwili kutokea sasa. Read more about Azam FC yainyaka sahihi ya kocha mpya