Wanaume waundiwa njia mpya kupimwa VVU

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa anatarajia kuzindua rasmi kampeni ya kitaifa ya upimaji virusi vya Ukimwi VVU iliyopewa jina la ‘Furaha Yangu’ yenye lengo la kuhamasisha huduma za kupima VVU na kuanza ARV mapema hasa kwa wanaume.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS