Man United yaendeleza kuiburuza Real Madrid

Klabu ya Manchester United imetajwa na Jarida la Forbes kuwa ndio klabu ya soka yenye thamani kubwa zaidi duniani kwa mwaka wa pili mfululizo ikiwa imejitengezea mapato ya  dola bilioni 4.12, zaidi ya Trioni 9 kwa mwaka 2018.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS