Lukaku, Hazard na De Bruyne watisha Timu ya taifa ya Ubeligji imeibuka na ushindi mnono wa mabao 3-0 dhidi ya Panama kwenye mchezo wa Kundi G kwenye Fainali za Kombe la Dunia ambao umemalizika usiku huu. Read more about Lukaku, Hazard na De Bruyne watisha