Musukuma amtaka Mpina kung’atuka

Pichani kutoka kulia ni Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma na
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhanga Mpina

Mbunge wa Geita Joseph Musukuma (CCM), amemtaka Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhanga Mpina kujitafakari na kung’atuka kufuatia maofisa wa wizara hiyo kuingia bungeni bila ridhaa katika mgahawa wa Bunge na kupima samaki wanaodaiwa kuvuliwa haramu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS