Tamko la Brazil baada ya Neymar kutofanya mazoezi Shirikisho la soka nchini Brazil CBF limeweka wazi kuwa nyota wa timu Neymar Jr hajafanya mazoezi ya Jumatatu na wenzake kutokana na kuwa na programu maalum na daktari wa timu hiyo. Read more about Tamko la Brazil baada ya Neymar kutofanya mazoezi