Mahakama kuamua matumaini ya CUF

Mbunge wa Temeke, Abdallah Mtolea

Mbunge wa Temeke, Abdallah Mtolea ameweka wazi kwamba anaamini chama chao kitasimama tena upya licha ya changamoto na migogoro inayoendelea ambayo kwa kiasi kikubwa imeleta mpasuko mkubwa ndani ya chama.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS